kumkosoa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Benson Mramba

    Nafikiri ni hatari sana kumkosoa Rais Samia kama anaamini humpendi. Mood yake haitabiriki

    Kwanza niweke wazi kuwa mimi nimelelewa na Mama tangu utoto wangu. Mama yangu amejitahidi kwa kila hali kunihudumia kwa kadiri ya uwezo wake hivyo naweza kusema nawapenda na kuwathamini wanawake kuliko wanaume. Kukiwa na mgogoro wa Mwanamke na mwanaume most likely nitakuwa upande wa mwanamke na...
  2. I

    Maria Sarungi kapotosha, hakuna chombo cha habari kimefungiwa kwa kumkosoa Rais

    1. VYOMBO VYA HABARI VILIVYOFUNGWA Katika mkutano wa Oslo Forum, Maria Sarungi ametoa madai ya kupotosha kuhusu uhuru wa vyombo vya habari nchini, akieleza kuwa kuna vyombo vingi vya habari vimefungwa na Rais Samia ili kujitengenezea njia rahisi ya ushindi wa Mwezi Octoba. Hakuna chombo cha...
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Tuzo za Kalamu ya Samia zimezika Uhuru wa Vyombo vya Habari, kuna aliyepewa tuzo atakuwa na ubavu wa kumkosoa Rais?

    Wakuu, Katika aliyepewa tuzo pale kuna ataweka kitu ambacho kinaenda kinyume na Rais ama jambo la wapinzani ambalo wanajua litamkera Rais? Mwananchi/The Citizen ikanyamazishwa shwaaaa na milioni 20 pamoja na washindi wa kategoria! Halafu Rais Samia akamalizia na msumari wa mwisho; "Kuweni...
  4. Samia atosha tukutane2030

    Ni nani kaliroga Tanzania? mpaka sasa tuko busy kulinda kiti cha Rais

    DUNIA sasa iko kasi, nchi kama Rwanda inawaza kujitanua kiuchumi na kijiografia, Wazungu watu wenye akili wanawaza kujiimarisha kiuchumi kwa kupata rasilimali toka mataifa mbalimbali, nchi za Asia nazo wanawaza namna ya kuvuna rasilimali toka kwenye mataifa ya wajinga. Sisi Tanzania mpaka sasa...
  5. Genius Man

    PreGE2025 Tusisubiri Rais atoke madarakani ndio tuanze kumkosoa. Hata kama amevunja katiba yeye pia anakosea

    Kuna huu mfumo wa kusubiri mtu atoke madarakani ndio tuanze kumkosoa lakini akiwepo madarakani ni kama watu wengi wanakuwa wamepoteza macho na kujifunga akili mfano mzuri ni kipindi cha utawala wa magufuli. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa...
  6. Waufukweni

    LGE2024 Simiyu: Mch. Msigwa adai CHADEMA hawana uhalali wa kumkosoa Rais Samia

    Mchungaji Peter Msigwa ametema cheche katika mkutano uliofanyika Simiyu, akitoa kauli kali dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amesema kuwa CHADEMA hakina uhalali wa kukikosoa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani chama hicho kimekosa uhai na timu yake imeonekana kuchoka. Msigwa...
  7. Pascal Mayalla

    Heshima kitu cha bure. Rais Samia ni lazima aheshimiwe na wote, akosolewe kwa staha na asitukanwe

    Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure, binadamu wote ni sawa na kila mtu anastahili heshima kwa ubinaadamu wake, asitweze utu wake!, hivyo...
Back
Top Bottom