Hello
Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi
Endelea kukologa pole pole mpka zibadirike kama hivi
Uku una zio onja ili zisije ungua zikiwa teyari ziache zipoe
Baada ya hapo mm...
Habari,
Ndugu wafanyabiashara wa peanut butter, unga wa lishe, karanga za kutafuna na n.k. nina mashine ya kukaanga karanga yenye uwezo wa kukaanga karanga zaidi ya kg 50 na pia nina mashine ya kutoa maganda yake kama utahitaji.
Naanzia kg 25 na kuendelea, gharama za huduma ni sh. 30 kwa kilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.