kuhani musa

Kuhani (Persian: كوهاني) is a village in, and the capital of, Shaban Rural District of the Central District of Nahavand County, Hamadan province, Iran.

View More On Wikipedia.org
  1. mamamzungu

    Unajisikiaje au unapata picha gani unapotongozwa na mwanaume ambae anasali makanisa ya mitume na manabii haswa mwamposa na kuhani Musa

    Hello Hope mko salama.. Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa.. Anyway sio mbaya kila mtu na imani yake ila kwa upande wangu sifurahishwi na wanaume wahumini wa makanisa hayo yanayo trend na...
  2. Mganguzi

    Kuhani Musa anafanya huduma inayochonganisha watu. Ipo siku watu watadhuriana ndio serikali iamke usingizini

    Huyu jamaa kama kweli ni mchungaji basi hajapitia kwenye vyuo vya kichungaji na hajui kumtangaza mtu mbele ya hazira ya watu kwamba ni mchawi ni kosa kisheria na ni hatari kubwa sana kwa mlengwa. Kwanza jamii ya mtu aliyetajwa kwamba ni mchawi inaweza kumtenga na kumhusisha na matukio...
Back
Top Bottom