kugombea ubunge segerea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mwenyekiti Kamati ya Ilani ya Uchaguzi mkuu 2025 wa ACT Wazalendo, Emmanuel Mvula amechukua fomu kugombea ubunge Segerea

    Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 wa ACT Wazalendo Emmanuel Mvula, amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Segerea lililopo Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaam. Mvula amechukua fomu hizo katika ofisi ya msimamizi msaidiza wa uchaguzi jimbo la Segerea...
Back
Top Bottom