"Kama Biden aliweza kuufungia mtandao wa Tiktok ukiwa hauendani na Propaganda zao kwa sababu maudhui ya TikTok ni ya china, pia hii Instagam, Twitter na Facebook haziendani na sisi tuzitie Ban zina madhara"-Mohamed Thabit - Mshiriki.
Habari
Husika na heading above wakuu… naomba kwa mwenye uelewa kuhusiana na title juu hapo, ni ipi inalipa moja kwa moja na malipo yawe cash au hata bank?
Asante, karibu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Wakuu , huu upumbavu hauvumiliki Jumatatu nategemea kufungua shauri mahakamani kwa ajili ya kuishitaki Serikali kwa kunisababishia hasara katika biashara zangu.
Ushahidi ninao
Hatuwezi kuwa na Taifa la watu wajinga ambao hawajitambui wanafanya lolote wanalohitaji
Sisi wafanyabiashara tunalipa...
Unakereka na Machapisho ya X jiondoe ili Usiwe unayaona, na watu wasikuite uone !!.
Kwa mf, Kurasa za Rais Samia, CCM, Jeshi la Polisi, Kurasa zote za Serikali Kuu ,Tamisemi ,Taasisi za Serikali n.k ,Jiondoe kwenye mitandao kijamii !!.
Mnashindwa Kuajiri Vijana makini wenye Uwezo katika...
Hali si Hali nchini Tanzania.
Kwa sasa bila VPN huwezi kupata Instagram wala Mtandao wa X.
Hali hii imeanza kujitokeza leo baada ya Mtanzania aishiye Marekani Mange Kimambi kuanza kuweka hadharani ushahidi wa kutisha namna Rais wa Tanzania na watu wake wa karibu wanavyolifisadi Taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.