kufungia kanisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    PostGE2025 Serikali ilikana kufungia kanisa la Gwajima, leo Waziri Mkuu anawezaje kusema kanisa litafunguliwa?

    Kuna muda hata sheria inaweza kukufanya kujua sheria ili mradi ubongo uwe unakwenda na wakati na muda. Gwajima alipotaka haki kuhusu utekaji na hapo hapo alifungiwa makanisa bila serikali kutoa maelezo ila tuliona polisi wakizuia sehemu zake. Leo hii Waziri Mkuu unasema unafungua kanisa ina...
  2. T

    PostGE2025 Anatafuta sababu ya kufungia Kanisa Katoliki

    Huo ndio ukweli Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
  3. chiembe

    Rwanda ilifungia makanisa 8000 na nchi iko salama. Kanisa la Gwajima ni sahihi kufungiwa

    Rwanda ilifungia makanisa 8000 ambayo yalikuwa yanaendesha shughuli zake kihuni. Mungu wa mbinguni yupo, na nina imani uamuzi ule Mungu aliukubali kabla hata serikali haijautoa. Kanisa LA Gwajima ambalo linatumika kama pango LA kihalifu kutukana serikali, viongozi, na kuchochea uvunjifu wa...
Back
Top Bottom