Katika hari ambayo inaendelea tanzania. Maandamano yanazid kutanuka kimipaka.
Nawalaumu washauri wa mama na naamini hawampendi au hawamtaki kabisa ndio manaa wanashauri haya
1. Kufungwa kwa mtandao kunazolotesha uchumi kwa vinaja au jamii kubwa ambayo imejiajir kupitia mtandao. Hawa watu njaa...
Wahuni walijua kufungia twitter(X) ndio kukomesha wanaharakati na walijua hakuna watumiaji wengi.
Sijui hizi habari wanashauriwa na vilaza toka JF.
Sasa siasa imeamia instagram na facebook na huko ndio kuna wasanii wao 😂. Karma karma sasa fungeni wawa geuke
Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.