kuendelea leo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Kesi ya Mange Kimambi kuendelea leo Januari 28, Kisutu

    Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma: Kesi ya Mange Kimambi ya utakatishaji wa fedha kuunguruma leo Desemba 4, Kisutu Mange, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa...
  2. Its Tesha

    Kesi ya Mange Kimambi kuendelea leo Januari 28, Kisutu

    Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma pia PostGE2025 - Serikali ya Tanzania yamfungulia Mange Kimambi kesi ya Uhujumu Uchumi. Adaiwa kutakatisha Tsh. Milioni 138 Mange...
  3. mwanamwana

    GE2025 Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

    Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, leo Oktoba 6, 2025, itasikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kupinga Luhaga Mpina kuondolewa kugombea Urais wa Tanzania. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mbele ya majaji watatu kuanzia...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Kikatiba dhidi ya Tume huru ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuendelea leo Septemba 3,2025

    Chama cha siasa cha ACT Wazalendo kimetangaza kuwa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kusikilizwa leo, tarehe 3 Septemba 2025, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma.Kesi hiyo, namba 21692 ya mwaka 2025...
  5. DuaZaMama

    Ligi Kuu ya England (EPL), Bundesliga na CHAN kuendelea leo Agosti 22, 2025

    Ligi Kuu ya England itaendelea leo kwa mchezo kati ya West Ham na Chelsea majira ya saa 4:00 usiku (EAT), ikiwa ni mchezo wa raundi ya pili kati ya raundi 38 zinazotarajiwa kuchezwa msimu huu. Katika raundi ya kwanza: Chelsea walitoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Crystal Palace. West...
  6. DuaZaMama

    Ligi kuu ya England EPL kuendelea leo bingwa mtetezi Liverpool kukipiga na Bournemouth

    Baada ya kumalizika rasmi kwa msimu wa 2024/2025 mnamo Mei 25, 2025, Ligi Kuu ya Uingereza (English Premier League) itaendelea leo kuashiria rasmi kuanza kwa msimu wa 2025/2026. Mchezo wa ufunguzi utafanyika majira ya saa 4:00 usiku katika dimba la Anfield, kati ya bingwa mtetezi Liverpool na...
Back
Top Bottom