kuelea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. USSR

    PreGE2025 MNECM CHADEMA na mgombea wa ubunge 2020 katika jimbo la Biharamulo, Mbelwa Petro ahamia CCM na kukabidhiwa kazi na mzee Wasira

    MWL. MBELWA AIKACHA CHADEMA, APOKELEWA NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA WASIRA! Na Grace Mpondwe. Katika hali isiyotarajiwa leo Machi 25, 2025 aliyekuwa mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la Biharamulo mwaka 2020 kupitia CHADEMA amekihama chama hicho na kujiunga na CCM akipokelewa na kukabidhi...
  2. Ojuolegbha

    PreGE2025 Tundu Lissu na hoja zake dhaifu dhidi ya Serikali

    Na Mwandishi Wetu – Songea Leo hii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameendelea kurudia madai yale yale yasiyo na mashiko kuhusu mfumo wa uchaguzi na usawa wa kisiasa nchini Tanzania. Katika mkutano wake na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Lissu alitoa...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Lissu: Mabadiliko yakikubaliwa, Uchaguzi utaahirishwa na Bunge litarudishwa hata kama lilivunjwa

    Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Back
Top Bottom