kudumisha amani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    PostGE2025 Cassypool: Nakuja Tanzania 2026 kuongea na vijana kila mkoa kudumisha amani

    Akiwa anazungumza hivi karibuni content creator kutokea Kenya Cassypool amesema: "Lazima tuketi tuongee umuhimu wa amani kwenye kanda la Afrika Mashariki ni juhudi zetu kwa pamoja kuongea na kujua jinsi tunaweza kuweka amani katika kanda la Afrika Mashariki ama jinsi tunavyoweza tumia mitandao...
  2. BigTall

    DC Mpogolo: Bodaboda na Machinga undeni Timu Maalum kuzunguka vijiwe vyenu kutoa elimu ya kudumisha amani

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa Maafisa Usafirishaji na Wamachinga kuunda timu maalum itakayozunguka katika vijiwe vya bodaboda na maeneo ya wafanyabiashara kutoa elimu juu ya umuhimu wa kudumisha amani. Hayo ameyabainisha leo katika kongamano la Maafisa...
  3. Tajiri wa kinyankole

    Nawakumbusha viongozi wa Vyombo vya Dola: Utekaji unaoendelea baada ya kiini macho cha uchaguzi siyo afya kwa jamii, mnachochea moto

    Mimi najiuliza hivi ni kweli IGP wambura hana washauli wazuri wakumshauli namna bora ya utendaji kazi wa jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake zaidi ya haya mambo yanayoendele ya utekaji baada ya kiini macho cha uchaguzi yaliyofanyika october29. ? Hawa viongozi hawajui kama kuendelea...
  4. Waterlemon

    Wito wa kudumisha amani. Tusibaguane kiTanganyika na kiZanzibari

    Ndugu wananchi wenzangu, Napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole kwa yote yaliyotukuta. Mungu awalaze pema vijana wetu waliopoteza maisha kwenye harakati hizi za uchaguzi haramu. Vile vile napenda kuchukua fursa hiii kuzungumza nanyi kama ndugu, marafiki na kizazi kinachobeba matumaini ya...
  5. DuaZaMama

    GE2025 THBUB: Wanahabari tumieni kalamu zenu kudumisha amani

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka waandishi wa habari mkoani Tabora kufuata miiko na kanuni za uandishi wa habari kwa kuzingatia usawa, kuepuka matumizi mabaya ya lugha ili kudumisha mshikamano na amani hususani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba...
Back
Top Bottom