kuchangia chama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA waja na mkeka wakuchangia chama kutoka kwa wananchi

    Michango ya makada, viongozi na wadau mbalimbali ndiyo itakayogharamia uhai wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), huku chama hicho kikizindua Operesheni "Tujenge Pamoja #Tanzania" Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama, Kaimu Katibu Mkuu wa CHAUMMA, Benson Kigaila...
  2. Magufuli 05

    JamiiForums Tanzania GE2025 Seth wa PAP tuliyemkamata na kumfunga leo tunamkaribisha kuchangia chama?

    "Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" kweli? Magufuli yupi analiyemaanisha hapa? Magufuli huyu aliyemkamata Seth kwa ufisadi na utapeli? Magufuli huyu wa Chato au ni Magufuli wa Msoga? Leo Magufuli anavyoona kwamba yule Habinder aliyemkamata Leo amechangia chama, anajisikiaje? Ni kwa namna Gani...
  3. Chance ndoto

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je! Kuchangia chama ni lazima?

    Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama? Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa...
Back
Top Bottom