kuachana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nini chanzo cha baadhi ya mahusiano kudumu na mengine kutodumu?

    Mahusiano ya kimapenzi huwa na mazuri pale mwazoni, wengine hudai kuwa unavyoanza mahusiano mapenzi mwanzo ndivyo hukua. Je, ni kwanini baadhi ya mahusiano ya mapenzi huvunjika na mengine hudumu daima? Je, umewahi kujiuliza “Kwa nini ni uhusiano wetu una shida sana? Mambo yalikuwa mazuri sana...
  2. Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

    Salutiii....MMU....!!!!!! Niingie janvin mojakwamoja ..binafsi mm ex wangu. Nilimtext. Nikamfahamisha. ...enhe wadau karibun tujuzane..... Je wewe ulitumia njia ipi???
  3. Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

    Mambo vipi watu wa Mungu? Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani. Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…