Klabu ya Simba SC imepata heshima kubwa baada ya kutajwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) kuwania Tuzo ya Timu Bora (Club of the Year) kwa mwaka 2025. Tuzo hii inatambua klabu zilizofanya vizuri katika mashindano ya kimataifa na ndani ya bara.
Simba SC itashindana katika mchujo wa timu 10...
Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!.
Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume
Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.