kitambaa cheupe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Segesela Street nyuma ya Kitambaa Cheupe - Sinza mmejenga barabara lakini mmeacha mifuko na uchafu, Mamlaka mko wapi?

    Wakuu, Nasikitishwa sana na hiki nilichokiona hapa kwenye hii barabara ndogo ya Segesela Street hapa Sinza, ni kamtaa fulani kanaanzia hapa Mlimani City kuelekea Kitambaa Cheupe. Hii barabara ni mpya na ilikuwa inajengwa na Wachina, imejengwa kwa zege, of course ni kitu kizuri lakini baada ya...
  2. GE2025 Chalamila, Muliro waibuka Kitambaa Cheupe Sinza, Awataka Watanzania Kudumisha Amani Katika Siku ya Uchaguzi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaagiza Watanzania kulinda amani ya nchi, hususan leo Oktoba 29, 2025, wakati wa zoezi la kupiga kura, akisisitiza kuwa migogoro ya kisiasa inaweza kuathiri sana uchumi na shughuli nyingine za Taifa. Akizungumza katika eneo la “Kitambaa...
  3. N

    Mama Mobeto amnyakua mume wa tajiri Jesca kitambaa cheupe. Ama kweli mashangazi ni hatari

    Yaliyojiri siku za karibuni, Kuna taarifa kwamba mama yake Hamisa Mobeto ambae ni Mama Mobetto amemnyakua bwana/ mume wa boss wa kitambaa cheupe Jesca Kikumbi. Kufuatia mnyakuo huo bi Jesca amedata na kwenda vacation huko Serengeti, Huku akionyesha mwili wake mzuri kwa mavazi ya kuogelea, kitu...
  4. Wakuu kweli pum pum na kitambaa cheupe zikufanye usijenge hata haka

    TUPAMBANE!
  5. Inasemakana Masakuu Mbagala kuna laana isiyo kifani kitambaa cheupe ikasome. Je ni ya kweli hayo?

    Mimi sio mkazi wa Daslam lakini wenye mji wao kwenye mitandao ya kijamii wanasema hapo Masakuu Mbagala Kuna laana isiyo ya kawaida kitambaa cheupe irudi darasani kwanza. Wanasema watu wanakulana mubashara wa kushangza !! Wenye mji wenu Je Kuna ukweli wowote ule? Location yake hii hapa
  6. Hawa wateja wanaoenda Kitambaa Cheupe Sinza wanalala saa ngapi ikiwa mpaka Saa 1 asubuhi siku za kazi huwapo hapo wakinywa na kustarehe mno?

    Leo nitafurahi kama nitalipata Jibu moja ambalo nalihitaji ili nithibitishe kuwa 99% ya Wateja waendao hapo ni ...................!!!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…