kimodoi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fufua Tumaini Jipya

    Leo tarehe 22 ndo tunapumzisha ndugu yetu Justin Kimodoi kwao bukoba Buyekera, pumzika salama mdau mkubwa wa maendeleo Kagera

    Ratiba ya mazishi
  2. Fufua Tumaini Jipya

    Serikali ya Ccm mmeamua kumsaliti mdau wa maendeleo Justin kimodoi na kushindwa kuuleta Mwili wake Tanzania ili uzikwe!

    Wakuu hii ndo Ccm ninayoijua Mimi ambayo haijali wewe ulikuwa nani , umejitoa kiasi gani n.k Mpaka Sasa Justin kimodoi mwili wake haujaletwa kwao Bukoba kwa ajili ya mazishi . Changamoto kubwa ni pesa. Hii ndo Ccm
  3. Knock life

    Wabongo mnaoshi ulaya acheni sifa za kijinga

    Wabongo mnaoishi ulaya acheni sifa za kijinga . Mkipata wekezeni Hizo hela mnatuma huku kwa ndugu zenu wanakunywa mapombe kuhonga then mkifia huko majuu maiti zenu zinashindwa kusafirishwa Watoto wenu mnawaacha katika umasikini. Mkizeeka pia mnatia aibu. Kuna mmoja ameona amefia huko majuu...
  4. Fufua Tumaini Jipya

    Ombi: Serikali isaidie gharama za mazishi za ndugu Justin Kimodoi ili mwili wake uweze kuletwa Tanzania na kupumzishwa kwao Bukoba

    Naomba Serikali , isaidie kutoa support ya kusafirisha mwili wa marehemu Justin kimodoi . Cc Waziri Mkuu Pia soma > TANZIA - Mdau wa maendeleo Kagera, Justin Kimodoi afariki dunia nchini Marekani baada ya kupata ajali Bajeti inayohitajika ni $35K Ila mpaka sasa bado sana Kama mnavyoona kwenye...
Back
Top Bottom