Kim Keon Hee (Korean: 김건희; born Kim Myeong-sin; 2 September 1972) is a South Korean businesswoman who served as the first lady of South Korea from 2022 to 2025 as the wife of President Yoon Suk Yeol. Since 2009, she has been the chief executive officer and president of the art exhibition company Covana Contents.
Born in Yangpyeong, Kim graduated from Kyonggi University in 1996. In 2012, she married Yoon Suk Yeol, the then-prosecutor in Supreme Prosecutors' Office. Since the 2022 presidential election, Kim has been the subject of several allegations of misconduct, including the falsification of academic and financial reports.
Mke wa aliyekua rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, amekamatwa baada ya Agosti 12, 2025 usiku mahakama kutoa hati ya kumtia mbaroni kufuatia tuhuma za ufisadi ambazo yeye amezikanusha, kwa mujibu wa mwendesha mashtaka maalum anayeongoza uchunguzi huo.
Soma pia: Mke wa Rais wa zamani Korea...
Mke wa aliyekua Rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, alifika mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili kilichodumu saa tano, lakini hakimu hajatoa uamuzi kuhusu ombi la waendesha mashtaka la kutaka kibali cha kumkamata kwa tuhuma za ufisadi
Anakabiliwa na mashtaka yanayoweza kumfunga miaka kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.