kibu denis

Kibu Denis Prosper (born 4 December 1998), is a Tanzanian footballer who plays as a forward for Simba S.C., a club based in Dar es salaam.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Dili la Ulaya sababu za Kibu Denis Kutoonekana kambini

    Mchezaji superstar na tegemezi wa timu ya simba Kibu denis, yupo nje ya nchi kukamilisha mazungumzo na klabu yake mpya ya ubeligiji inayocheza ligi daraja la pili, mchezaji huyo alisaini dili jipya na klabu ya simba huku akipewa gari, na pesa zote alizostaili kulipwa, na msimu ulivyoisha...
  2. mwehu ndama

    Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba SC

    Nilicheka sana, Baada ya taarifa za kibu Denis kuwagomea makolo kusaini mkataba mpya kisha baadae wakala wake akaingiza siasa za kwamba tapeli hilo la söka linatakiwa na mabingwa wa nchi, Yanga SC. Kibu Denis hana thamani ya milioni 300 wala mshahara wa laki 9 kwa mwezi achilia mbali mil 15...
Back
Top Bottom