kesi ya uhaini lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chakaza

    Suala la Lissu kunyimwa chakula na Magereza limegusa na kuumiza wengi

    Hivi hawa ni watu kweli? Au serikali hii inaongozwa na Mashetani ila hatujui? Mtu unamfungia jela miezi 10 ili hali ukijua kuwa Hana kesi ila unamkomoa, halafu una mleta mahakamani anakopambana na timu kubwa ya Mawakili wa serikali na chakula unamnyima? Hivi watu wakishangilia vifo vya watu...
  2. M

    GE2025 Tundu Lissu: Kuanzia sasa nakaa gerezani kwasababu ya Tarehe 29, kesi imekwisha hapa

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu anayekabiliwa na Kesi ya Uhaini inayosikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam amesema kuwa mpaka sasa kesi dhidi yake imeshakwisha kutokana na ushahidi ambao umetolewa mpaka sasa na mashahidi watatu wa Jamhuri. Ameongeza kuwa kitakachoendelea...
  3. Mafyangula

    GE2025 Nkindikwa: Lissu amekuwa gumzo ndani na nje ya nchi, achana na hii kesi Rais, inatia doa serikali na mahakama

    Kada mwezangu wa CCM hapa umesema ukweli kabisa> Bi mkubwa amuachie huru kabisa huyu jamaa aendelee na harakati zake za siasa na chama chake. ============ Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), David Nkindikwa (Kijana mzalendo) amemsihi Rais Samia Suluhu kuachana na kesi ya Tundu Lissu ambaye ni...
  4. M

    GE2025 Jeshi la Polisi kupiga picha Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Lissu, ni utaratibu au vitisho?

    CHADEMA kupitia mitandao yake ya Kijamii, imetoa taarifa kuwa Jeshi la Polisi limeanza kupiga picha Mahakama Kuu Dar es Salaam ambako leo wanachama wa chama hicho wamekusanyika kusikiliza shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa chama hicho. ---- Tukio la Jeshi la Polisi kupiga picha...
Back
Top Bottom