kesi ya lissu ya uhaini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Lissu: Wanataka tuzungumze mambo ya Oktoba 29 mtakuwa mmefungulia balaa na isije ikawa shida

    Mahakama imesikiliza hoja za upande wa mashitaka na mshitakiwa kuhusu notice inayohusiana na ushahidi wa ziada, ambapo mshitakiwa Tundu Lissu amesisitiza kwamba jambo hilo halina msingi kisheria. Katika kesi inayohusiana na matukio ya uchaguzi mkuu wa 2025, Jaji Ndunguru alieleza kuwa hoja...
  2. Idugunde

    Kama kuangalia video ya Lissu akisema tutakinukisha ndio ndio uhaini wa Lissu, basi mashahidi wa Jamhuri ni mil 50

    Nacheka mimi Idu huku nakula balimi la baridi nikiwa Igunga. Mashahidi wa Jamhuri ni watu zaidi ya mil 50. Jamhuri wanahangaika nini?
  3. The Father of All

    Hivi Tundu Lissu akishinda kesi itakuwaje?

    Kimsingi, katika kesi ya 'uhaini' inayomkabili Tundu Lissu ni kama imeilemea serikali. Je, mahakama itaendelea kuwa nyumba ndogo ya wauaji au itajikomboa na kutenda haki na haki ikaonekana inatendeka? Je, kama Tundu Lissu atashinda, itakuwaje hasa tukizingatia kuwa, kwa sasa, taifa letu...
  4. K

    Kesi ya Tundu Lisu; Sitashangaa kuona kitu tofauti na kinachowazwa na wengi

    Ukisoma maoni ya wengi mitandaoni na hata Tundu Lisu mwenyewe amewahi "kudhani" mara kadhaa kuwa amefunguliwa kesi ya uhaini "kimchongo" ili kupisha kipindi cha kampeni na huenda baada ya uchaguzi kesi ikatupiliwa mbali; huu ni mtazamo wa wengi Hata hivyo ukitafakari kwa kina zaidi na...
  5. C

    Tundu Lissu akiendelea kumbana shahidi maswali Kesi ya uhaini leo Mahakamani - Oktoba 15, 2025

    #UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo Oktoba 15, 2025. Last time tuliishia part 101 so leo tunaendelea na Part 102 Leo Tarehe 15/10/2025. Mheshimiwa Tundu Lissu ameingia Mahakamani. Amesimama Kizimbani anauliza Polepole amepatikana na Mama anasemaje si Balozi wake? Majaji wameingia na Shahidi nae...
  6. R

    Kesi ya Lisu jana 13.10.2025: Msifurahie Mahakama kutupa pingamizi la serikali. Bado hakuna mahakama Tanzania

    Tuweke rekodi sawa, shouldn't be overjoyed by this simple drama! Hakuna Mahakama hapa ni drama! Nguzo za Mahakama huru hakuna. Hakuna Bold Judges, ni Shyster Judges! Simple as such! Hakuna Mahakama
  7. tonicimmobility

    GE2025 Kesi ya Lissu Oktoba 8, 2025: Mchuano wa Maswali kati ya Lissu na Shahidi wa Jamhuri

    LISSU MAHAKAMANI ⚖️ Lissu: Kwa ufahamu wako kwanini unasema maneno niliyoyasema siku ile ya kuita waandishi wa habari, yalikuwa ni kosa la uhaini? 🤔 ACP Bagyemu: Ni kosa. Lissu: Hata wewe kuita waandishi wa habari wakusikilize ni kosa la uhaini? ACP Bagyemu: Inategemea. Lissu: Soma PGO na...
  8. M

    Jaji Ndunguru na wakili Katuga wameongea lugha waliokuwa wanawasiliana hadharani bila kujua

    Lugha hii imetokea wakati wa kupanga tarehe ya kuanzia kusikiliza kesi.Wakati Mh.Lissu anasema yeye yuko tayari hata Leo au kesho na kwamba Mashahidi wengine wapo hapahapa. JAJI NDUNGURU:Wakili wa serikali unasemaje? Adv.Katuga:Aliomba muda kidogo kujiandaa JAJI NDUNGURU:Sema muda gani...
  9. Fukua

    Kama Mungu alikuokoa na risasi 30+, hata hili hatakuacha weka Imani kwake kaka yetu

    Habarini wote Kwa hii kesi ya Lissu, CCM chama changu, serikali yangu ya mama Samia, mahakama zetu, na WA Tanzania msiompenda huyu kaka mmeniumiza sana. Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu nimemwachia ashughulike nalo na ninaamini hawezi kumwacha. Kaka Lissu hakuna haja ya kufikiri kwamba watu Hawa...
Back
Top Bottom