Maelfu ya wateja wa Kenya Power wamekumbwa na changamoto ya kushindwa kununua tokeni za umeme wa malipo ya awali saa chache baada ya hitilafu kubwa iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali nchini.
Wateja wengi walilalamika kuwa miamala kupitia huduma za simu na majukwaa...
Shirika la Kenya Power limetangaza kuwa limefanikiwa kurejesha huduma ya umeme katika maeneo yote yaliyoathiriwa na hitilafu kubwa iliyosababisha kukatika kwa umeme katika sehemu mbalimbali za nchi.
Hitilafu hiyo, iliyotokea usiku wa Jumatano, iliathiri maeneo ya Nairobi, Pwani, Mlima Kenya na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.