kazi za viwandani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kutoka kufurahia “Kazi ipo hakuna rushwa” Hadi kuacha ndala Godown, Hadithi halisi ya kazi za viwandani kwa wageni

    Ilikuwa miaka ya 2010s mimi na rafiki yangu tulikuwa tunahangaika kutafuta kazi. Tumezunguka viwanda vingi kila ukifika unaambiwa “hakuna kazi”, “acha namba”, “rudi wiki ijayo”. Siku moja tukafika kiwanda fulani, kulikuwa na jamaa yupo getini ni msimamizi akatuangalia akasema tu, “kazi ipo...
  2. jamaikatz

    Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Kazi za viwandani sio kazi ni zaidi ya mateso, imagine unafanya kazi masaa 12 unapewa 4000 hapo bado hujatoa hela ya nauli, chakula na bado haubaki na hata mia. Asilimia kubwa ni viwanda vya wahindi na waarabu ndio wanaongoza kwa kulipa malipo kidogo kwa wafanyakazi na sasa hivi wabongo nao...
  3. Poor Brain

    Niulize Chochote kuhusu kazi za viwandani

    Karibuni wakuu... Niulize Chochote kuhusu kazi za viwandani
  4. HighGm

    Fursa ya Dhahabu: Mhitimu wa uhasibu na teknolojia anatafuta kazi, HARAKA!

    Habari wana JF. samahani kwa kuwakimbizeni. Short storyline. Nimepambana sana na application's za kupambania nafasi za kazi, ila sijabahatika ziaidi ya mara tatu. Ni mbili tu(Online business). Sawa tuachene na hizo. Nipo hapa kijana wenu (23), nahitaji msaada wenu. Mimi ni mhitimu wa chuo...
  5. JanguKamaJangu

    Ripoti Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC): Wanawake Viwandani wananyanyasika kingono

    https://www.youtube.com/live/380UNEwvBCo?si=ES97yMPqBEkG_Qon Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) wakati kikizindua Ripoti ya 10 ya Biashara na Haki za Binadamu leo August 27, 2024, Afisa Program Mwandamizi wa Tafiti kutoka kituo hicho, Fundikila Wazambi amesema kuwa wamebaini...
Back
Top Bottom