kazi za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Tunataka kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi-Dkt. Mwigulu

    TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu na Wananchi. 📍Dodoma-Tanzania 🗓️ Januari 22, 2026. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametoa kauli...
  2. DuaZaMama

    Nchemba: Kazi za serikali zifanyike Dodoma ili kuwasogezea wananchi huduma

    Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi, Dodoma, ili kuwasogezea Watanzania huduma. “Mheshimiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu mwelekeze Katibu Mkuu atengeneze timu ifanye tathmini ya majengo yote ya Serikali yaliyoko Dar es Salaam ambayo hayana...
  3. M

    KERO Mchakato wa Utarajari (Internship) Serikalini ni kilio kisichosikika. Watu wanasubiri posho kwa miezi 2 hadi 3 ya mwanzo

    Vijana wanaofanya utarajali (internship) huugulia maumivu makali kila mwaka baada ya kulazimika kufanya kazi kila siku kwa miezi miwili hadi mitatu wakiwa mikoani bila kupokea posho zao, Lni utawekwa utaratibu wa kupunguza hii adha kwa vijana hawa?
Back
Top Bottom