Dkt. Maria Josephine Kamm ambaye ni Mwenyekiti & Mkurugenzi wa Taasisi ya Mama Clementina, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Fasihi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kutokana na mchango wake katika kuinua sekta ya Elimu hasa kuanzisha shule za wasichana katika mikoa ya Kilimanjaro...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna chama chochote cha siasa nchini kinachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama CCM.
Akihutubia wananchi wa Mchinga mkoani Lindi katika mkutano wa kampeni...
"Tunafanya kazi ili kuinua Taifa na utu wa mtu na ndio maana tunasema Kazi na Utu, tunasonga mbele, sasa hii ni kwa Taifa hata mtu mmoja mmoja, ukifanya kazi ipasavyo unainua utu wako mwenyewe kwasababu kazi itakulipa ujira na ujira utatumia kufanya maendeleo yako binafsi, lakini ukifunga mikono...
Husika na mada tajwa hapo juu.
Hayo makundi yote hapo juu.
Kwa niaba yao nasema Asante Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan 🇹🇿
Umeyatendea haki makundi yote hapo juu na mengine ambayo sijayataja, hii ni ibada tosha kwako.
Mfano baada ya Mh Rais kuongeza mshahara nadhani ametajwa kwenye kila...
Mjumbe wa NEC Richard Kasesela amesema Wajumbe wanapaswa kuwachagua viongozi ambao licha ya kazi yao watazingatia Utu .
Kasesela amesema Kazi na utu ndizo nguzo huku akisema unaweza fanya kazi sana ukakosa utu itapelekea kubwagwa.
Ikumbukwe hii ni kauli mbiu Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.