kauli za magufuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kauli za Magufuli enzi za Corona, zililiponya Taifa kwa kututoa taharuki, TAARIFA za Mwigulu, na Katambi zinaleta taharuki dhidi ya usalama Taifa letu

    Moja ya kitu siwezi kukisaau ni KAULI za hayati Magufuli enzi za maradhi ya korona hakika zilizuia taharuki kubwa sana kwa wananchi, Wapo walio KAIDI ushauri wao na kwakweli waliondoka na korona kabisa hasa walio puuza kujifukiza uku wanavitambi vya wizi WA FEDHA za UMMA walisepeshwa. Si hizo...
  2. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Hii kauli ya Magufuli masaa kadhaa kabla ya Tundu Lissu kupigwa risasi mwaka 2017 inafikirisha sana!

    Wanajamvi, Nikiwa X leo nimekutana na video clip ya the late Magufuli akimuongelea mtu ambaye alimuita kama "Mpiga Kelele" ambaye kwa maneno yake alikuwa ni adui wa serikali kwenye vita ya kiuchumi na kwamba at some point serikali ili-trap simu ya adui huyo na baada ya kutrap walikuta adui huyo...
Back
Top Bottom