katibu mkuu chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CHADEMA

    GE2025 Waraka wa Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika juu ya Hotuba ya Rais na Maombolezo ya wafia Demokrasia

    Ujumbe wa Katibu Mkuu Na. 3 wa 2025: Juu ya Hotuba ya Rais Haramu ya 3/11/2025 na maombolezo ya wafia demokrasia, uhuru na haki ya tarehe 5 mpaka 11 Novemba 2025. Makamanda, wapendwa na ndugu nawasalimu kwa salamu zote za Chama na salamu za imani zenu kwa Mungu. Naomba mrejee taarifa kwa umma...
  2. Msolo

    GE2025 John Mnyika: Hotuba ya kwanza ya Rais Haramu haijaonesha matumaini kwa watanzania, yeye na Serikali yake dhalimu wafanye toba

    Kutoka account ya X ya CHADEMA WARAKA NAMBA 03 WA 2025 Ujumbe wa Katibu Mkuu Na. 3 wa 2025: Juu ya Hotuba ya Rais Haramu ya 3/11/2025 na maombolezo ya wafia demokrasia, uhuru na haki ya tarehe 5 mpaka 11 Novemba 2025. Makamanda, wapendwa na ndugu nawasalimu kwa salamu zote za Chama na salamu...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar apokelewa tena CHADEMA, wakanusha madai ya waliohama Chama

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar kimekanusha madai yaliyotolewa na baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa chama hicho, ambao hivi karibuni walitangaza kujiondoa, wakidai kuwa chama hicho kimepoteza mwelekeo na kinakosa stahiki za uendeshaji wa kimamlaka kwa upande wa...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Heche amvaa Msajili wa Vyama: Huitaji kumtambua Mnyika, sisi CHADEMA tunamtambua

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akiongea na wananchi wa Magumu - Serengeti leo Mei 13 kuhusu suala la Msajili wa vyama vya siasa kutotambua uwepo wa cheo cha John Mnyika katibu Mkuu wa chama hicho. Pia, Soma: Ofisi ya Msajili yatengua uteuzi wa wajumbe 8 wa sekretarieti na kamati kuu ya...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 John Mnyika: Kamanda Muliro ametoa taarifa za uongo juu ya yaliyotokea tarehe 24/04/2025. Waliwakamata zaidi ya watu 20 na si watu 2

    Katibu mkuu wa CHADEMA aonyesha ushahidi Kwa Ulimwengu kuwa Polisi waliwakamata zaidi ya watu 20 na kisha kuwaondoa maeneo ya Kisutu kisha kuwatelekeza sehemu za Coco Beach, Ununio, Mabwepande, Bagamoyo na katika mitaa ya jijini Dar es Salaam "Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam...
  6. Just Pray

    PreGE2025 Naibu katibu mkuu CHADEMA Zanzibar: Polisi wanavyotufanyia sio kama wanatuvunja moyo, bali wanatutia ujasiri wa kupambana

    "Hivi ambavyo wanatufanyia vitatengeneza visasi vya muda mrefu sana lakini mimi naamini wametufanyia sisi lakini vizazi vyao vitakuja kufanyiwa haya ambayo tumefanyiwa na sisi. Nataka nimwambie Rais Samia kwamba anachokifanya kutunyamazisha ni kosa kubwa sana kwa sababu binadamu yeyote anapitia...
  7. and 998 others

    Maslahi ya Katibu Mkuu CHADEMA

    Katibu Mkuu CHADEMA anastahili zifuatazo kwa Cheo chake, 1. Mshahara 7m TZS/mwezi (take home). 2. Usafiri/Gari SUV (4WD), dereva na posho ya mafuta. 3. Kutumia VIP Lounge akiwa airport. 4. Posho za safari nje na ndani ya nchi. **Sasa jichanganye bodaboda eti unaenda kwenye kesi ya Lissu wakati...
  8. Influenza

    PreGE2025 Mnyika: Sitakuwepo kuwakilisha Chama kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi 2025 kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani Twitter), Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatakuwepo katika kusaini maadaili Uchaguzi ya 2025 na hajateua Afisa au Kiongozi yeyote kwenda kushiriki kwa niamba yake Ameandika “Katibu Mkuu CHADEMA sitakuwepo kwenye kikao cha tarehe 12...
  9. Mganguzi

    PreGE2025 Katibu mkuu CHADEMA hao watia nia mliwapata lini ?na Kwa mchakato gani? Mmepataje akidi yao? mmewapa mwaliko, mmeijuaje idadi yao nchi nzima?

    Tayari viongozi wa juu wa CHADEMA wanaonyesha wanawagombea wao mfukoni !! Ukisema unawaita watia nia unajuaje kwamba Jimbo Moja Lina watia nia wangapi ? Mfano Mimi Niko Jimbo la Ileje na watia nia ileje wako 70 huyo mmoja mliemuita mmempataje? Mimi nachojua watia nia watachujwa kwenye majimbo...
  10. Mindyou

    PreGE2025 John Mnyika: Siku kama ya leo BAWACHA mlimpa Rais tuzo. Mwanamke mliyemuamini alikuwa mnafiki. Anastahili kuvuliwa ile tuzo!

    Wakuu, Baada ya kuchoma vitenge vya Rais Samia, siku ya leo Mnyika amesema wazi kuwa BAWACHA wanatakiwa kuirudisha rasmi ile tuzo ambayo BAWACHA walimpa Rais Samia. Mnyika kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake amesema kuwa BAWACHA wanatakiwa kumvua ile tuzo ambayo walimpa Rais Samia mwaka...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Lissu asifu uadilifu wa John Mnyika, namna alivyoendesha Uchaguzi na kumteua tena kama Katibu Mkuu CHADEMA

    Mwenyekiti mteule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameeleza uadilifu wa John Mnyika na namna ambavyo aliendesha Uchaguzi wa ndani ya Chama. Soma, Pia: Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu
  12. M

    PreGE2025 Tundu Lissu amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu. Ateua Manaibu Katibu Wakuu na Wajumbe wa Kamati Kuu

    Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA, Tundu Lissu akiwa kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Chama ambalo limekutana leo Jumatano, Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ameanza kupanga safu yake ya uongozi kwa Kuteua Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu pamoja na wajumbe wa Kamati...
  13. Ubaya Ubwela

    Godbless Lema asema kazi ya Ukatibu Mkuu haiwezi, anafurahi kuwa mwanachama huru

    Hii kazi siiwezi hata kidogo ,it’s not my job either my area. Ninafurahi kuwa mwanachama huru. Leadership is not a title.
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA

    Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika amempongeza Freeman Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA
  15. R

    John Mnyika ni moja wa Makatibu wakuu bora wa vyama vya siasa Afrika

    Chadema moja ya kiongozi waliyofanikiwa kupata ni pamoja na katibu Mkuu. Alipoondoka Dr. Slaa watu walihoji kama Mrithi wake anaweza akavaa viatu vyake. Nimeona namna alivyosimama neutral kwenye uchaguzi na jinsi anavyoratibu uchaguzi bila kusahau anavyoweza kujibu hoja zinazoelezwa ofisini...
  16. Mganguzi

    Katibu Mkuu CHADEMA tafadhali ahirisha uchaguzi mkuu mpaka hapo baadae kwakuwa kuna viashiria vya uvunjifu wa amani

    Namshauri Katibu Mkuu wa CHADEMA ndugu John Mnyika aahirishe kwanza uchaguzi mkuu, kwa sababu kuna viashiria vya uvunjifu wa amani au ikiwezekana Lissu na Heche wawekewe pingamizi la kisheria kwa kauli zao wamevunja kanuni za uchaguzi, tubaki na wagombea wawili tu
  17. Mindyou

    PreGE2025 Naibu Katibu Mkuu CHADEMA: Bila mabadiliko, 2025 hakutafanyika Uchaguzi wowote

    Wakuu, Akiongea hivi karibuni katika mdahalo maalum ulioandaliwa na Jamii Forums pamoja na Star TV, Benson Kigaila ambaye ni Naibu Katibu Mkuu CHADEMA amesema kuwa sio kwamba CHADEMA itasusia uchaguzi ujao bali uchaguzi huo unaweza usifanyike kabisa, Kigaila amesema kuwa bila mabadiliko ya...
  18. Waufukweni

    Katibu Mkuu CHADEMA anazungumza na waandishi wa Habari

    Muda huu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Mikocheni https://www.youtube.com/live/IzvkWYUP3hA
  19. Tlaatlaah

    Tetesi: Hatma na Mbadala wa Katibu Mkuu CHADEMA kujulikana hivi karibuni

    Huenda ikawa ni kabla ya mwisho wa mwaka huu 2024. Sababu hazijawekwa wazi bado ila mazingira yako wazi sana 🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  20. M

    Hivi John Mnyika angekuwa na Digrii ingekuwaje? Kama ana six na ana nondo kali kama hizi?

    The guy is good. MwananchiNews nimesoma kwenye habari yenu kuwa mmenipigia sikupokea. Fahamuni tu kuwa wakati mnapiga nilikuwa naendesha mafunzo ya Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi Chademawz Mkoani Tabora. Ingekuwa vyema kwa jitihada zenu hizo hizo mkawauliza @tanpol kwanini hawajatoa...
Back
Top Bottom