karoti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Richard

    Filamu ya Spy X wengi wamejiuliza kwanini mchezaji wake wa kike Anya hupenda sana kula karanga. Na Anya akiri kupenda karanga zaidi kuliko karoti

    https://www.youtube.com/watch?v=wuuDdOeI--k "X Spy Family" ni filamu nzuri ya watoto na ina mhusika mkuu mmoja aitwae Anya ambae katika vyakula vyote avipendavo huwa hakosi Karanga. Haijulikani hadi leo sababu kubwa ya Anya kupenda mno kitafunwa hicho maarufu cha karanga. Jana nilimwona mmoja...
  2. W

    Njia gani mnatumia ili karoti zisinyauke wa kuharibika, hasa kipindi hiki tumenunua vitu vingi kwa hofu?

    Well for me natumia hii njia na zinakaa kwa muda mrefu sana, naziweka kwenye container au organizer kama hapo nazijaza maji😊 njia ziko nyingi wewe unafanyaje?
  3. D

    Punguza uzito kwa Juisi ya Papai na Karoti

    Njia ya Asili Baada ya chakula cha jioni (saa 2–3 usiku), andaa juisi nzito ya papai na karoti usiongeze maji kabisa kwa sababu papai tayari lina maji ya kutosha. Kunywa glasi moja kubwa mara baada ya mlo wa jioni. Faida zake ni: Husaidia mmeng’enyo wa chakula tumboni 🥗 Hufanya usiku wako...
  4. N

    Historia fupi ya karoti na faida zake

    Karoti ni mboga ya mizizi, kwa kawaida ina rangi ya chungwa, ingawa zilikuwepo aina mbalimbali za urithi ikiwa ni pamoja na zambarau, nyeusi, nyekundu, nyeupe na njano zipo,. aina ya karoti mwitu, Daucus carota, asili ya Ulaya na Kusini-magharibi mwa Asia. Huenda mmea huo ulitoka nchini Iran na...
  5. U

    Orodha ya baadhi ya vyakula vinavyotajwa kuwa bora (super foods)

    Tunaambiwa kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ni kujua ipasavyo na kuvitumia vyakula bora pamoja na kufanya mazoezi. Katika makala yafuatayo...
  6. BigTall

    Faida ya kula karoti kwa afya ya mwili wako

    Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi Faida ya kula karoti ni kama zifuatazo i...
  7. OMOYOGWANE

    SoC01 Maana ya Furaha na Nadharia ya Punda anayekimbiza karoti

    Je umewahi kujiuliza Furaha ni nini? Je umewahi kuwa na furaha? Ilikuaje ukawa na furaha? Je unakumbuka nini siku ile ulipopata matokeo yako ya kidato cha nne ? Bila shaka ulihabarishwa kuwa umefaulu na unatakiwa kujiunga na chuo au kuendelea na kidato cha tano, bila shaka ulipata Furaha kubwa...
  8. T

    Nijuzeni bei za karoti na kabechi Dodoma, Morogoro na Dar

    Mliopo Dodoma Dar na moro naomba uzoefu wenu nataka kujua bei za karoti kwa kigunia na kabechi mwezi wa 11. 12 na januari huwa inacheza vipi ? Nampango wa kupanda zitoke hio miezi kwa hio naomba kujua na ikiwezekana kama kuna wadau/ dalali wa sokoni wani pm tufanye makubaliano. Nipo Njombe
Back
Top Bottom