kampeni za act wazalendo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    GE2025 Othman: Nitasafisha ufisadi uliojengewa mizizi, ili nchi hii iendeshwe kistaarabu

    Mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema endapo akiingia madarakani Oktoba 29, 2025, ataanza kusafisha vitendo vya ufisadi vinavyodaiwa kuwepo visiwani humo. Amesema vitendo vya kifisadi vilivyopo visiwani humo vinasababisha athari mbalimbali ikiwemo...
  2. tonicimmobility

    GE2025 Zitto nyumba kwa nyumba kuomba kura kata ya Businde

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura wakati wa kampeni yake ya nyumba kwa nyumba iliyofanyika kwenye kata ya Businde jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 23, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho katika zoezi hilo...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Zitto nyumba kwa nyumba kuzisaka kura za ubunge

    Katika kuzisaka kura za Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, leo septemba 17, 2025 kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametembela nyumba moja baada ya nyingine kuomba wananchi kura hizo katika Kata ya Kagera. Soma pia: Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini...
  4. Waufukweni

    GE2025 ACT yakataa gari alilopewa Mpina na INEC

    Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine. "Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba...
  5. tonicimmobility

    GE2025 Sendwe (ACT): Mnamchagua Serukamba kwasababu ya Rushwa?

    Mwenyekiti mstaafu mkoa wa Chama cha ACT wazalendo mkoa wa Kigoma Bw. Sendwe ameauliza wananchi wa Kigoma kaskazini kuwa ni kwasababu ya rushwa, ameyasema hayo katika ufunguzi wa kampeni za Chama hicho mkoa wa kigomba katika jimbo kigoma kasakzini
Back
Top Bottom