kampeni ya mama asemewe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mwenyekiti kampeni ya Mama asemewe: Tunawafahamu wanaofadhili Vijana kuhamasisha chuki kwenye Mitandao ya Kijamii

    Mwenyekiti wa Bodi ya Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Alawi Abdallah amewahakikishia Watanzania kuwa nchi yao ni tulivu na yenye usalama mkubwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Alawi amebainisha hayo Mkoani Kagera wakati...
  2. M

    PreGE2025 M/kiti Mama Asemewe: Wapinzani acheni kulalamika, leteni hoja mezani

    Mkiti wa Kampeni ya Mama asemewe Ndg Geofrey Kiliba amewataka Wapinzani kuacha kulalamika badala yake walete hoja na sera nzuri za kuwaeleza watanzania. Amesisitiza wahoji na kukosoa kwa kutazama ilani ya CCM ilitaka serikali ifanye nini na hawajafanya nini kuliko kuendelea kuzusha mambo...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wanavyuo wa kampeni ya ‘mama asemewe’ wafanya matembezi, waweka maazimio uchaguzi mkuu 2025

    Maelfu ya wanavyuo wa Kampeni ya Mama Asemewe kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wamefanya matembezi maalum kwa ajili ya kuweka maazimio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Matembezi hayo yamefanyika chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama asemewe ya Ndg. Geofrey Kiliba...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Kampeni ya mama asemewe kuandaa kongamano kubwa la wanavyuo Dodoma kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025

    Kampeni ya Mama Asemewe chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Geofrey Kiliba, imeandaa kongamano kubwa la wanavyuo kutoka Vyuo mbalimbali mkoani Dodoma, litakalofanyika tarehe 29 Machi 2025 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre. Kongamano hilo linalenga kuwakutanisha wasomi kwa ajili ya...
Back
Top Bottom