kampeni cuf 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Pof. Lipumba: Tuliamua kushiriki uchaguzi kuonyesha uzalendo, Rais Samia waambie vyombo vyako kura zihesabiwe kama zilivyopigwa na wananchi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amesema Chama chao kiliamua kushiriki Uchaguzi Mkuu ili kuonyesha uzalendo na kudumisha amani na mshikamano kama Taifa moja Prof. Lipumba amesema hayo Oktoba 5, 2025 kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la...
  2. R

    GE2025 Sintofahamu yaibuka kabla kuanza kwa Kampeni za Mgombea Urais CUF Tabora

    Sintofahamu imeibuka katika eneo la Usinge Jimbo la Kaliua Mkoani Tabora kabla ya mapokezi ya mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Gombo Samandito Gombo baada ya baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufika kwenye eneo hilo na kuanza...
Back
Top Bottom