Wakuu,
Sasa wameona iwe ni mwendo wa kuzunguka kwenye Vijiwe kutoa elimu ya umuhimu wa kulinda amani ya nchi,, kumbe inawaumiza kichwa tuendelee kukaza waku hadi kieleweke wamezoea sana hawa CCM
Tusirudi nyuma mpaka haki ipatikane kwenye nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.