kampeni 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Polisi wakusanya madereva bajaji Iringa kuwakumbusha kuhusu "amani"

    Wakuu Mahubiri ya amani yanaendelea nchini. Nimeona huko Iringa madereva bajaji wamekusanywa na Polisi na kuanza kupewa mawaidha kuhusu umuhimu wa amani Binafsi sijawahi kuona such stress kwenye amani nchini kama kipindi hiki, kwani kuna nini? =========================================...
  2. GE2025 RC Shinyanga Mboni Mhita: Tutahakikisha siku ya Uchaguzi inapita kwa amani. Hatutamvumilia yeyote atakayevuruga amani

    Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita, amewatoa hofu wananchi wa mkoa huo kuhusu hali ya usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa mkoa uko salama na hauna tishio lolote la kiusalama. Akizungumza katika kikao na waandishi wa habari...
  3. W

    GE2025 INEC: Kampeni zimeenda kwa utulivu hata Uchaguzi utaenda kwa utulivu

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani akijibu kuhusu hatua watakazochukua katika kulinda usalama katika vituo vya kupiga kura amesema hatua ya kwanza ni kutoa elimu kwa wapiga kura kufuata masharti elekezi, kuwa na polisi wa kusimamia kituo. Pia...
  4. W

    GE2025 Makonda: Tuishi katika Misingi Imara ya Kiroho na maadili mema

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, leo ameshiriki ibada maalum na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ngarenaro, lililopo katika Kata ya Ngarenaro, Jimbo la Arusha Mjini. Katika ibada hiyo ya...
  5. W

    GE2025 Hivi vyama pinzani vimeshamaliza kupiga kampeni au muda umekwisha?

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza kuwa kampeni rasmi za uchaguzi mkuu wa 2025 zilianza Agosti 28, 2025 na zinatarajiwa kukamilika Oktoba 27, 2025, siku mbili kabla ya kupiga kura. Kwa hiyo, kisheria vyama vyote vilikuwa na muda sawa wa kujinadi kwa wapiga kura. Lakini kiuhalisia...
  6. A

    DOKEZO Makonda na 'kampeni za kifahari' kuliko wagombea wengine wa CCM, Je, anatuma ujumbe gani?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na kampeni katika mikoa mbalimbali, na kwa sasa wametia mguu wao huku Kanda ya Ziwa. Ukiachana na mambo kadhaa yanayoacha tafakuri kuhusu mwenendo mzima wa kampeni, yapo mambo mawili yanayonifanya nijikune kichwa, kama siyo kushika tama. UKWASI WA MAKONDA...
  7. GE2025 Wananchi ikiwemo watoto wapanda kwenye jukwaa la CCM wakisema "No Reforms No Election"

    Wakuu, Mko wapi? Mambo yameendelea kuchemka huku Yaani ni wazi kuwa watu wameamua.
  8. GE2025 Mgombea Ubunge Mtambile: Amani ndio tunu yetu. Syria na Libya walijaribu kutafuta demokrasia leo hii wanahangaika mpaka kesho

    Mgombea ubunge wa Mtambile, Zanzibar, Mohamed Abdallah Kassim amewaomba wananachi kutunza amani kwa sababu ni tunu muhimu ya taifa ambalo wanapaswa kuilinda ili kufanikisha maendeleo na ustawi wa kila mmoja. Amesema hayo leo, Septemba 27, 2025, wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM za...
  9. GE2025 Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Muheza: Tukishinda vijana laki 3.5 mtapata ajira na kila mmoja atapewa bodaboda

    Wakuu, Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga ambaye sasa ni Mbunge Mteule wa Viti Maalum Vijana wa CCM Zanzibar, Zainab Abdallah, amewaomba wananchi wa Jimbo la Mtambile, Mkoa wa Kusini Pemba, kumpa kura za kishindo mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Mohamed Abdallah Kassim...
  10. K

    GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    AHADI ZA SAMIA NDANI YA SIKU 100 BAADA YA KUCHAGULIWA (ATAKAYOFANYA) 1. Utazinduliwa rasmi mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, kwa awamu ya majaribio. Wakianza Wazee, Watoto, Wajawazito, na Wenye Ulemavu. Gharama za matibabu kwa makundi haya zitabebwa na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. 2. Serikali...
  11. PreGE2025 Wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2025 usilazimishe uongozi Kama haujamshirikisha Mungu Utakufa

    Kila Jambo ishirikishe nafsi yako sio wapambe Nawaambie enyi warafi wa madaraka na wapambe wenu Kama hamtanisikiliza mtakufa kabla, ndani au baada ya uchaguzi. Uongozi mzuri utoka kwa mwenyezi Mungu sio mwanadamu kwa kusimikwa. Hakika nawaambia mtaanguka na kufa na wapambe wenu kuwakana na...
  12. PreGE2025 Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi amuombea kura za Urais Rais Samia kuelekea Uchaguzi Mkuu. CCM mmeanza kampeni?

    Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, amewahimiza wakazi wa jimbo lake kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa 2025. Akiwa katika ziara yake, Katambi alikutana na Wajumbe wa CCM wa Kata ya...
  13. PreGE2025 CCM Morogoro waonyana tabia ya makada kuanza kampeni kabla ya muda elekezi. Mjumbe wa kamati kuu atoa neno

    Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Morogoro kimewataka wanachama wa chama hicho pamoja na watia nia katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu kuacha kujishughulisha na kampeni za uchonganishi ambazo tayari baadhi ya watu wamedaiwa kuanza kupita mtaani kuomba kura badala yake...
  14. PreGE2025 Mwenyekiti wa CCM Morogoro awapiga biti kali wagombea walioanza kampeni kabla ya muda uliopangwa

    Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Joseph Masunga amekemea vikali tabia inayofanywa na baadhi ya viongozi kufanya kampeni za chini chini kabla ya wakati kwani ni kinyume na Sheria za uchaguzi. "Tunaelekea kwenye Uchaguzi ambao utafanyika Oktoba mwaka huu zipo tetesi kwamba kuna watu wanapita...
  15. W

    Baba Levo: Kama CCM haitowapa kazi wasanii kwenye kampeni 2025, basi kuna dalili kubwa wasanii wakawehuka

    Baba Levo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa; Nimeiangalia GAME Kwa Upana Wake NA Kuangalia Kipato Cha Msanii Mmoja Mmoja Nimegundua Vitu Vitatu ..! 1 MZIKI HAUNA NGUVU YA KUKAA TREND WIKI TATU..! Tafsiri Yake Ni Kwamba Msanii Anatumia NGUVU Kubwa Kupata HIT SONG Lakini Haidumu...
  16. PreGE2025 Mary Chatanda awaonya Madiwani na Wabunge wanaojipitisha kwa Wajumbe ili waungwe mkono

    Wakuu, Mary ameenda kutoa onyo hilo huku akiwa mgeni mresmi wenye hafla ya kutoa 'zawadi' kwa wananchi, si ndio yale yale ama? Au ukiongozana na kiongozi mwingine ndio inaacha kuwa rushwa? ===== Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Pius Chatanda (MCC) amekasirishwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa...
  17. LGE2024 Njombe: Wananchi wataka wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na zisizo na matusi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Wakati zoezi la uchukuaji fomu za kugombea uenyekiti na ujumbe wa serikali za mitaa likiendelea nchini, wakazi wa Mtaa wa Kambarage mjini Njombe wameomba kampeni za kistaarabu zisizo na lugha za matusi pindi zitakapoanza. Wananchi hao wamesisitiza umuhimu wa kampeni zenye kujenga umoja na...
  18. ILA CCM WANA MAMBO BWANA

    Wamekuja na huu mzigo sijui wameagiza contena ngapi uko china Na baadhi ya wabongo walivyo wapuuzi wata piga kula kisa kapewa kiatu na sio kuchambua sela
  19. PreGE2025 LGE2024 Watanzania wezangu tusilambishwe sukari na wanasiasa, bali tuzipime hoja zao kama kweli zitaleta chachu ya maendeleo

    Nchi kwetu Tanzania katika kipindi hichi cha miaka hii 2, taifa litakuwa bize kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utafanyika November 27, 2024. Na uchaguzi mkuu ambao utafanyika 2025. Katika kipindi hiki wanasiasa wameshaanda sukari zao za hoja kuja kudanganya au kusema ukweli wakati...
  20. PreGE2025 Makalla: Hatuhitaji mbereko yoyote Tutashida Uchaguzi kwa haki

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema wamejipanga kuwafikia wananchi kupitia ziara zinazofanywa na viongozi wao ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Makalla amesema hayo leo Jumanne Agosti 6, 2024 katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…