kamanda murilo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Muliro awaonya wanaotaka kuandamana oktoba 29

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amewaonya wale wote wanaopanga, kuratibu ama kutaka kushiriki kwenye uvunjifu wa amani ikiwemo kufanya vurugu na maandamano Oktoba 29, 2025, akisema Jeshi hilo limekula kiapo kulinda nchi pamoja na raia na mali zao. Soma...
  2. Dr Adam Francis

    GE2025 Kamanda Muliro: Kama sheria haijakataza NRNE, basi imeruhusu NRNE

    Kuelekea uchaguzi mkuu October 29, Jana August 20, kamanda Jumanne Murilo alifanya tathmini ya UHALALI wa kauli mbiu ya "October tunatiki" ya CCM, dhidi ya "No reforms No ection" ya CHADEMA. Kwa maoni yake, alihitimisha kwa kusema "October tunatiki ni HALALI na "No reforms, No election" ni...
  3. Black Butterfly

    Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

    1. Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania, Samia Suluhu Hassan. 2. Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Hamad Masauni. 3. Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongoso Wambura 4. Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahim Juma 5. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob Nkunda 6...
Back
Top Bottom