Ni jambo la ajabu sana, mali zinaharibiwa kwenye maandamano kwa kiasi kile halafu hakuna wa kuzuia mpaka baadae sana.
Muliro ni aina ya watu wanaomuangusha sana Kipenzi chetu mama Samia, analipwa mshahara mnono bila uwajibikaji unaostahili.
Unaambiwa siku ya maandamano October 29 waandamanaji...