jumuiya za kimataifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Tume ya Chande imekataliwa karibu na Jumuiya zote za kimataifa, hakuna atakayeamini matokeo yake

    UN: The Commission of Inquiry must be independent, ensure accountability, justice, reparations, non-recurrence, and include full participation by victims and civil society. EU: Any inquiry must be independent, transparent, and inclusive—involving civil society, faith-based groups, and all...
  2. Q

    Bunge la Marekani: Kama Jumuiya za Kimataifa zingesimama na viongozi wa kidini na upinzani, mauaji ya Oktoba 29 yangeweza kuzuiwa

    Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika hotuba yake, Smith ameorodhesha nchi zinazokandamiza uhuru wa kidini kuwa ni China, Urusi, Nikaragua...
  3. L

    Mataifa ya Nje na Jumuiya za Kimataifa ili zituelewe ni lazima IGP apelekwe ICC kushitakiwa

    Ili Jumuiya za Kimataifa na Mataifa ya Nje ziweze kutuelewa ni vyema IGP aweze kupelekwa The Hague - ICC kufunguliwa mashitaka ya mauaji yaliyofanyika. Hii itasaidia Sana IGP wajao wasiweze kutoa AMRI kama hizi katili za kuua watanganyika na kutoa AMRI za Curfew za kibabe. Chao
  4. adriz

    Jumuiya za kimataifa haziwezi kufanya chochote dhidi ya serikali dhalimu zaidi ya matamko na vikwazo ambavyo madhara yanarudi kwa Wananchi

    Moja kwa moja. Kiuhalisia umoja wa mataifa na Jumuiya nyingine za kimataifa hakuna la maana wanalofanya katika kuwasaidia Wananchi wa kawaida katika mateso na manyanyaso kutoka kwa serikali zao na viongozi dhalimu . Mifano ipo mingi sana ila nimeweka michache hapo chini 👇⬇️ 1. Iraq chini ya...
  5. L

    Uteuzi wa Balozi Lazaro Nyalandu ni kuzishawishi jumuiya za Kimataifa - USA na European Countries Kwamba Tanzania ni Shwari na Salama

    Wanabodi, Huyu Mheshimiwa ni Double Agent wa Tanzania na CIA, kwa kifupi ni CIA matukio yake yakukumbukwa Awamu ya Tano ya JPM, aliweza kuleta Ndege kubwa yenye huduma za hospital Moja kwa Moja kutoka Marekani hadi KIA na kuwachukua manusura watoto waliopata ajari ya Lucky Vicente MKOANI Arusha...
  6. McLaren

    GE2025 Rais Ruto: Sisemi Tanzania hakuna demokrasia, lakini Kenya huwezi kushinda Uchaguzi kwa asilimia 96

    Hapa Ruto ni kama ametupa jiwe gizani hivi Yaani kapiga kwenye mshono alafu kajitetea
Back
Top Bottom