jumuiya ya maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakusoma 12

    Nashauri mali za CCM ziwe moja wapo ya agenda ya maridhiano

    Moja kati ya agenda ya maridhiano iwe CCM kurudisha mali zote za umma walizojimilikisha kama viwanja vya mipira na shule za jumuia ya wazazi. Hili jambo liangaliwe kwa umakini sana maana taifa limekuwa na imbalance. Mimi naomba hili liwe moja ya sera ya maridhiano.
  2. DuaZaMama

    GE2025 Jumuiya ya maridhiano Shinyanga yaiahidi serikali kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi mkuu

    Jumuiya ya Maridhiano ya Mkoa wa Shinyanga imewasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura ifikapo Oktoba 29 mwaka huu, wakisisitiza kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kutimiza haki ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo kuanzia ngazi ya kata. Tamko hilo limetolewa leo...
  3. Mafyangula

    GE2025 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania: Vijana ni nguvu kazi ya taifa, lakini wasitumike vibaya

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania, Abdulrazack Amir Juma, amesema kuwa viongozi wa kidini, hususan waliopo kwenye jumuiya za maridhiano, mapadri, wachungaji na masheikh, wameshughulika sana kuhubiri amani na ushirikiano kati ya waumini na viongozi wa kisiasa. “Nafasi yetu kubwa ni...
  4. McLaren

    Mwenyekiti Jumuiya Maridhiano Mtwara: Tunaridhishwa na utu wa Samia kutokana na falsafa ya 4R

    Wakuu, Viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano na amani Mkoa wa Mtwara, wamesema wanaridhishwa na utu wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na Falsafa ya R4 ambazo ameziasisi. Aidha, wamesisitiza wananchi kushiriki ipasavyo katika Uchaguzi wa mwaka 2025 huku wakitunza amani na utulivu uliopo nchini...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania yampongeza Rais Samia kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa

    Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa, huku ikimuomba kwa heshima asamehe kauli za matusi na udhalilishaji zinazotolewa na baadhi ya vijana kutoka nchini Kenya kupitia mitandao ya...
  6. Carlos The Jackal

    Hawa wanaojiita 'Jumuiya ya Maridhiano' kwanini kwenye hotuba yao yote,haijagusia matendo ya utekaji

    Hawa ndio wanafanya Hasira ya Wananchi juu ya Serikali, CCM na Rais iwe juu Kila siku. Kila siku Mungu anazidi kuwachanganya ili Watanzania wajue Watekaji na Wauaji wao ni watu gani Et Jumuiya Hotuba nzima inajadili Vijana wa Kenya ! Hii ni Aibu.
Back
Top Bottom