jimbo la uyole

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    PostGE2025 Dkt. Tulia Ackson agawa Vifaa vya Shule kwa Wanafunzi 3,000 wenye Uhitaji Jimbo la Uyole

    Januari 10, 2026, Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Uyole, Spika Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson amegawa vifaa vya shule kwa wanafunzi wenye uhitaji Jimbo la Uyole. Dkt. Tulia anatoa...
  2. Just Pray

    Dkt. Tulia agawa mchele kwa kaya 130 jimbo la Uyole, aahidi kuwapa fedha kwaajili ya mboga siku ya sikukuu

    Mbunge wa Jimbo la Uyole na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, amegawa chakula na msaada wa fedha kwa kaya zisizo na uwezo zipatazo 130 kutoka kata 13 za Jimbo la Uyole, ikiwa ni sehemu ya kuwawezesha wananchi hao kusherehekea Sikukuu ya Krismasi kwa furaha na heshima...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Tulia: Watu wengi wamenza kupiga kura na wengine wanaendelea kujitokeza na Jimbo la Uyole litaongoza idadi ya watu watakaopiga kura

    Tulia: Watu wengi wamenza kupiga kura na wengine wanaendelea kujitokeza na Jimbo la Uyole litaongoza idadi ya watu watakao piga kura Tulia amepiga kura katika kituo cha Tamukereli ambacho kipo kata ya Itenzi baada ya kupiga kura Tulia Akson amefurahishwa kuona watu wengi wamejitokeza hadi muda...
  4. Waufukweni

    GE2025 Dkt Tulia: Tutaleta Lami Iduda, hii ndio ilani ya CCM

    Mgombea ubunge wa jimbo jipya la Uyole, jijini Mbeya, Dkt Tulia Ackson, amewaondoa hofu wananchi wa kata ya Iduda, kuwa ilani ya chama cha mapinduzi inaeleza namna itakavyo boresha miundombinu ya barabara inayounganisha kata hiyo na Mbeya vijijini hadi Rungwe ambayo imekua shida kwa wakazi wa...
  5. Just Pray

    GE2025 Mgombea udiwani Ilomba: Dkt. Tulia ni bidhaa adimu duniani Mungu ametusaidia

    Mgombea wa Nafasi ya Udiwani Kata ya Ilomba Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Noah Mwakisu awasisitiza wakazi wa Jimbo la Uyole kumuunga Mkono na Kumpa kura za heshima Dkt. Tulia kwani ni bidhaa adimu. Akizungumza Katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole Dkt. Tulia...
  6. Just Pray

    GE2025 Amkeni huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole

    Watu wa Uyole na kwingineko amkeni, huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole lakini wakishazipata wanawasahau wananchi na badala yake ndiyo tunakuwa wapiga magoti. Hii Picha ya Jenista Mhagama ni mfano mzuri Mbunge Wa Viti Maalumu Mkoa wa...
  7. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya kugombea Jimbo jipya la Uyole

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackon, leo tarehe 25 Agosti 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya wananchi wa jimbo jipya la Uyole katika Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika ofisi za tume huru ya Uchaguzi zilizopo katika...
  8. Roving Journalist

    GE2025 Mwandishi wa Habari apitishwa na CHAUMMA kuwania Ubunge Jimbo la Uyole dhidi ya Dkt. Tulia

    Naibu Mkurugenzi Habari Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Mwandishi wa Habari wa Mawio Online TV, Ipyana Samson Umetuliwa na Chama hicho kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Uyole Jijini Mbeya Katika Uchaguzi Mkuu wa Rais Ubunge wa Diwani Utakaofanyika Oktoba...
  9. Huihui2

    GE2025 Kinachoendelea Jimbo la Uyole: Mpinzani wa Tulia avamiwa na gari yake kuharibiwa

    ENEO la Isyesye nyumbani kwa Dr Seria Masole Shonyela mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole. Wametumwa vijana wa boda boda kama thelasini na pia wamevamia nyumbani kwa akina Dr Seria na wamefanyq uharibibu kwa kuvunja vioo vya gari na kuipindua juu chini. Huyu mgombea HAKUBALIKI Mbeya Jiji ndipo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Emily Sanga kupimana nguvu na Dk Tulia jimbo la Uyole

    Emily Sanga ni miongoni mwa wagombea waliojitokeza katika Jimbo la Uyole na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge.
  11. Just Pray

    GE2025 Yusuph Mwambete achukua Fomu kugombea Udiwani kata ya Ilemi Jimbo la Uyole

    Yusuph Mwambete amechukua Fomu kugombea Udiwani kata ya Ilemi Jimbo la Uyole
  12. Just Pray

    GE2025 Dkt. Seria Masole Shonyela achukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Uyole

    Dkt. Seria Masole Shonyela amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Uyole kwa dhamira ya kuleta maendeleo kwa wananchi wote, bila ubaguzi. Akizungumza baada ya kuchukua fomu hiyo, Dkt. Shonyela amesema ana nia thabiti ya kushirikiana na wananchi katika kutatua changamoto mbalimbali...
  13. Just Pray

    PreGE2025 Emily Sanga ajitosa kuwania Ubunge jimbo la Uyole kushindana na Tulia Akson

    Emily Noah Sanga amechukua Fomu kugombea Ubunge katika jimbo jipya la Uyole. Itakumbukwa pia Tulia Akson Mbunge wa Mbeya mjini anayemaliza muda wake alitangaza nia ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Uyole
  14. Just Pray

    PreGE2025 Wananchi bonde la Uyole waanza kumchangia fedha ya fomu Spika Tulia ili agombee ubunge jimbo la Uyole

    Wakuu kumbe jambo lipo lipo serious, Jumatano Waziri Bashe akiwasilisha hotuba ya bajeti wizara ya kilimo alimuomba alimuomba Spika Tulia kugombea jimbo la Uyole na siyo Mbeya mjini hatimaye baadhi wananchi kutoka Uyole wameanza kumchangia fomu Cc Stuxnet ===== Wakati vuguvugu la kisiasa...
  15. Just Pray

    PreGE2025 Waziri Bashe amuomba Spika Tulia akagombee ubunge jimbo la Uyole na si Mbeya Mjini

    Wakuu Watu wa uyole wamefikiwa sasa, Stuxnet upo wapi, Spika Tulia Akson Mwansasu atakubali kuliachia jimbo la Mbeya mjini uchaguzi wa mwaka huu akagombee Uyole? Waziri wa kilimo Hussein Bashe leo Mei 21, 2025, katika mkutano wa 19 wa Bunge la 12, jijini Dodoma, akiwasilisha hotuba ya bajeti...
Back
Top Bottom