Leo mishale ya saa 7 mchana nimeona kundi kubwa la akina mama hapa Bonyokwa wakiwa wanazingira kwenye ukumbi wa Masia, katika kufuatilia zaidi kumbe mgombea ubunge jimbo la Segerea, bibie Bonnah Kamoli alikuwa amewaita ili kuungwa mkono kwa kuwapa elfu 5 na zawadi nyingine ndogondogo
Wakati...
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.
Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es...
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Agnesta Kaiza, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakikushinda Jimbo la Segerea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kwa nguvu yake ya kisiasa, bali kwa sababu ya sintofahamu iliyokuwepo ndani ya vyama vya upinzani vilivyounda umoja wa UKAWA
Kaiza ametoa kauli...
Napenda niwakumbushe ya kwamba kiongozi wa G55 Bwana John Mrema alipigwa Chini kwenye kura za maoni ndani ya CHADEMA kwenye kugombea ubunge Jimbo la Segerea. Mbowe akambeba na kumsimamisha kugombea ubunge hapo Segerea.
Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:
SEGEREA
Jumla ya kura 144
Agness Lambert...
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Mhe. Bonnah Ladislaus Kamoli Mungu akupe maisha marefu hv kuna kata gani jimbo la segerea hujawapa maendeleo kiufup mama chukua maua yako
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.