Mfanyabiashara maarufu, Zahor Matelephone amejitosa katika mbio za ubunge baada ya kuchukua fomu katika Jimbo la Ole, Pemba.
Zahor ni miongoni mwa viongozi wanaoibuka kwa kasi na kuamsha matumaini ya wananchi wa Jimbo la Ole, akiwa na maono makubwa, aliyekulia katika misingi ya uadilifu, utu na...