jesca msambatavangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Jesca Msambatavangu: Askofu Gwajima kuna mambo alipitiliza kwenye matamko yake

    Mbunge wa Iringa Mjini, 2020 - 2025, Jesca Msambatavangu akipangua maswali ya Charles_william kupitia One on One ya Wasafi TV. Amesema "Wakati fulani uangalie maoni unyaotoa wewe ni nani na una influence kwenye jamii. Na kingine kuna mambo yako sensitive ndo maamna kuna vitu vingine vyombo vya...
  2. W

    GE2025 Jesca Msambatavangu aweka nia tena Iringa Mjini

    MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza muda wake, Jesca Msambatavangu, leo amechukua na kurejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hatua hiyo inaonesha dhamira yake ya kuendeleza kazi ya kulitumikia jimbo hilo kwa kipindi kingine. Akizungumza mara...
  3. W

    PreGE2025 Mbunge Msambatavangu: Mtu mkorogo umedunda, sijui alisahau kupaka poda anataka kuja kutuchonganisha

    Wakuu leo bungeni kumewaka naona wanatumia muda wote 'kuwachamba' Wakenya === Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu wakati akichangia kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani amegusia suala la Martha Karua kuja nchini na kile kilichotokea. "Mama mtu mzima aliyesoma sheria anaondoka...
Back
Top Bottom