Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF. Hivyo jana usiku ikanibidi nifanye safari ya ghafla kwenda Poland kwa jamaa yangu mmoja hivi
Huku...