Wataalamu wa fasihi najua sitakua mgeni kwenu mimi bawabu wa pili niliekuwa nasimama geti la ua wa ndani wa Bi kilembwe.
Sasa hivi Tanzania kiongozi huruhusiwi kuziona changamoto za wananchi kama Bi. Kilembwe hajaziona, wananchi wanaweza wakawa wanakufa mbele yako lakini kama Bi. Kilembwe...
Mambo sio kama zamani tena katika jamuhuri ya watu wa Giningi, wanaginingi wanajiuliza maswali mengi yasio kua na majibu, mwanzo jamuhuri ya Giningi ilijipatia sifa tele pande zote za dunia hii, jamuhuri ya watu wa Giningi ilikua ni mfano wa kuigwa kutokana na amani na upendo wa watu wa Giningi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.