Siku ya leo, Dunia imeshtushwa na taarifa ya kifo cha Jaji Frank Caprio aliyejizolea umaarufu mkubwa duniani kutokana na kusikiliza mashauri kwa Hekima na busara za hali ya juu kabisa kuwahi kutokea.
Jaji huyu aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa anahudumu kama Jaji kiongozi wa Mahakama ya...
Jaji Frank Caprio aliaga dunia kwa amani akiwa na umri wa miaka 88 baada ya vita vya muda mrefu na vya ujasiri dhidi ya saratani ya kongosho.
Akipendwa kwa huruma, unyenyekevu, na imani yake isiyoyumba katika wema wa watu, Jaji Caprio aligusa maisha ya mamilioni ya watu kupitia kazi yake katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.