Bodaboda
Bajaji
Dereva wa magari
Saidia fundi n.k.
Suala la kuwa tajiri au kufanikiwa na kuenjoy matunda mpaka uzeeni , ni ngumu sana ,hizo kazi ukilala kitandani mwezi mzima Kwa maradhi lazima urudi nyuma hata ulivyo nunua unauza
Polisi wa kenya baada kurudi nyumbani kutoka haiti wanakwambia polisi walikosa uhaminifu ile nchi sababu ni wao.
sasa wamefikia hatua kuwaua mpaka na familia zao nili nukuu BBC makala hipo.
Jeshi la polisi tanzania kumbukeni mna familia na ukoo je mnavyo shindwa kuzibiti na kufanya haya kisa...
Nimesikitishwa sana na huyu msomi ambaye ni motivational speaker kuamini imani za hovyo zisizo na uthibitisho wowote wa kisayansi. Mwenyewe anadai ni vibaya kumruhusu mtu alale kitandani kwako au kumpa mtu nguo zako. Kwa madai yake ya kishirikina ni kuwa ukifanya hivyo utapatwa na majanga mabaya...
VIVINI FT Q CHIEF - ITAKUWA NGUMU...
Chorus..
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Oooh ooooh oooh oooh
Ningekununulia Gari mama weee!!
La kifahari lakini sina pesa " itakuwa ngumu"
Ningekupeleka shart mama wee!! Unyamwezini lakini sina pesa..
Verse ... 1..( viviani)
Itakuwa ngumu sana umeamka Asubuhi na mapema/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.