ibilisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. macho_mdiliko

    Samia unataka kuridhiana na nani wakati maelfu ya vijana wa Tanganyika wameuwa wasio na hatia yoyote?

    Samia unataka kuridhiana na nani baada ya kuua maelfu ya vijana wa kitanganyika wasio na hatia yoyote? Kabla ya uchaguzi ulianza kuteka wananchi waliokuwa wanakukosoa na kuwapoteza. Majina tunayo yote. Ulipokaribia uchaguzi ukamweka Lissu ndani bila kosa kwa kuogopa ushindani. Siku ya uchaguzi...
  2. U

    Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku 10. Uwe mwaminifu hata kufa

    Wadau hamjamboni nyote? Msiwe na wasiwasi wadau! --.be thou faithful unto death, and I will give thee a crown of life Ufunuo wa Yohana 2:11
  3. Samia atosha tukutane2030

    Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unaondoka mikononi mwa Ibilisi, hapo utafanikiwa kila mahali

    Sababu inayomfanya mtu yeyote asifanikiwe ni kushikwa na kuonewa na Ibilisi. Unaweza kukamatwa haswa na Mr. Shetani huku ukiwa muumini mzuri wa Imani, sometimes unaweza kuwa kiongozi wa dini na Ibilisi akakuganda huku akimwacha mtu ambaye hata mlango wa kanisa hajui tarehe ya mwisho aliingia...
Back
Top Bottom