Hussein Ali Mwinyi (born 23 December 1966) is a Tanzanian politician who is the 8th and current President of Zanzibar since 2020. The son of former Tanzanian president Ali Hasan Mwinyi, he is a member of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) political party.
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha miundombinu ya barabara na sekta ya elimu ili kuleta maendeleo makubwa Unguja na Pemba.
Akizungumza na wananchi wa Jimbo la Pangawe, Mkoa wa Mjini Magharibi, Dkt. Mwinyi amesema serikali...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inalenga kuviimarisha viwanja vya michezo nchini ili viwe bora na kukidhi viwango vya kimataifa.
Amesema Serikali imewekeza fedha nyingi kuhakikisha inajenga viwanja zaidi vya kisasa vitakavyotoa...
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameahidi endapo atapewa tena ridhaa ya kuongoza Zanzibar kushirikisha sekta binafsi kuja na uwekezaji Mkubwa katika eneo la Bwawani ili kuchochea hadhi ya eneo hilo na uchumi wa Zanzibar
Dkt. Mwinyi...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na vijana wa Makachu katika eneo la Forodhani, Unguja na kuwaahidi kuwa serikali itarasimisha rasmi kazi hiyo ili watambulikane kisheria.
Dkt. Mwinyi amesema vijana hao wamekuwa mabalozi wa...
Kutokana na kifo cha mgombea ubunge wa Fuoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Ali Mwinyi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeahirisha uchaguzi wa ubunge katika jimbo hilo hadi pale itakapopanga tarehe nyingine ya uteuzi wa wagombea.
Abbas ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar ataendelea kuboresha zao la karafuu.
Kauli hiyo ameitoa wakati akihutubia maelfu ya wananchi ambao wamejitokeza katika uwanja wa...
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dtk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo Serikali itajenga soko kubwa la Kinyasini lenye miundombinu ya kisasa kwa ajili ya wafanyabiashara na wakulima.
Dkt. Mwinyi mesema kuwa ujenzi wa soko hilo utaleta ajira...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amechukua fomu ya kugombea Urais katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ifikapo Oktoba, 29, 2025 katika siku ya Uchaguzi Mkuu wa Wagombea wa 2025-2030.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili jijini Dodoma kushiriki katika vikao vya kikatiba vya Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Taifa leo tarehe 20 Agosti, 2025.
Katika uwanja wa ndege wa Dodoma...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atavunja rasmi Baraza la Wawakilishi Zanzibar ifikapo Agosti 13, 2025, ili kuwezesha maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Akihutubia leo Jumatatu Juni 23, 2025, Rais Mwinyi amesema: “Kwa mamlaka...
Wakuu!
Amka! Pesa za walipa Kodi zinatolewa kama 'kifuta jasho' cha Burudani. Rais Samia, Mwinyi wagawa bahasha kwa Mrisho Mpoto baada ya kutumbuiza kwenye shughuli ya CCM huko Dodoma.
Soma: Rais Samia kugawa bahasha kwa watumbuizaji ni sawa na kununua watu, anatuonesha hakubaliki bila 'zawadi'?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.