Wakuu habari za mda huu.
Hivi Benk zetu wameshindwa kabisa kubuni mfumo wa kutoa huduma kwa uharaka?
Imagine leo nimeenda bank kwa ajili tu huduma za mkononi. Lakini unatumia almost masaa matatu kwa ajili ya huduma hii kweli?
Walichonifanyia eniembii kinatosha. Nilifungua account lao mwaka Jana November, nikawa naweka tu elfu mbili tatu kama saving, simalizi wiki, nanyofoa pesa zangu, mambo mengine yanaendelea
Mwezi Feb mwaka huu nikaweka 85k, cha ajabu leo nimejaribu kutoa 80k wakaleta ujumbe wa insufficient...
MABENKI YATAKIWA KUWAFUATA WAKULIMA NA WAFUGAJI - DKT. BITEKO
📌Serikali Kuendelea Kuweka Mazingira Wezeshi ya Uwekezaji
📌Mikopo Chechefu Yapungua Nchini
📌 Dkt. Biteko Azindua Tawi la KCB Geita
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe...
Wakuu,
Kuna baadhi ya benki ukienda kupata huduma unaenda umetabasamu ukitoka unatamani upasuke kwa hasira.
Baadhi ya kero ya kero ni wadumu kufanya mambo mambo taratibu sana, mtu mmoja anatumia hata nusu saa halafu kikubwa kinachofanyika hakuna.
Ama unakuta benki ina madirisha mengi lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.