Habari zenu wakuu humu ndani natumai nyie ni wazima wa afya kabisa.
Leo nitashare nanyi hiki:
Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini ukiwa unaongea na simu iwe umepiga au kupigiwa, kabla ya maongezi Neno la kwanza kuongea ni Hellow?
Leo nakujuza sababu, wengine watasema Neno hilo humaanisha Habari...