hotuba ya tundu lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. technically

    Hii ndio hotuba ya Tundu Lissu itakayoishi miaka 10,000 ijayo

  2. BigTall

    Hotuba ya Tundu Lissu kuhusu Makaa ya Mawe aliyoitoa akiwa Mbamba Bay (Aprili 9, 2025)

    Mwentekiti wa CHADEMA Taifa alipohutubia Wananchi wa Bamba Bay akataja kuhusu Makaa ya Mawe, hii ilikuwa Aprili 9, 2025, kilichofuata baada ya hapo....
  3. Area 56

    Afande akifurahia hotuba ya Tundu Lissu kuhusu No Reforms No Elecetion

    Askari wa Jeshi la Polisi, akifurahia hotuba ya Lissu kuhusu No Reforms No Election ambapo Lissu amegusia pia namna maaskari na watumishi wengine wa umma wanavyokutana na kikotoo baada ya kustaafu. Kila mmoja atafikiwa tu na Lissu kwa namna yake. Lissu ndio habari ya nchi kwa sasa
  4. The Palm Beach

    Hotuba ya Tundu Lissu akizungumza na viongozi na wanachama wa jimbo la Ubungo akitoa elimu ya kauli mbiu ya movement ya NO REFORMS, NO ELECTION

    https://youtu.be/5Y7PcWedUNE?si=nXAlvjXG1G6V-4Mu KWANINI NO REFORMS, NO ELECTION? Ni kwa sababu: 1. Kwa utaratibu wa kisheria, kikanuni, kikatiba na wa kiserikali, uchaguzi salama usioambatana na mauaji, huru, wa wazi na haki hauwezekani tena kufanyika ktk nchi hii.. 2. NO REFORMS, NO...
  5. Mindyou

    PreGE2025 Tundu Lissu: Samia anaposema kazi iendeee maana yake kazi ya Magufuli iendelee. Hakutakuwa na Uchaguzi bila mabadiliko

    Tazama mapokezi ya Lissu Ikungi akielekea kufanya mkutano mkubwa nyumbani kwao Ikungi Singida Lissu Leo anapokelewa nyumbani kwao Singida ambapo atafanya mikutano kuanzia Manyoni, na kusalimia wananchi njiani Kisha mkutano mkubwa wa mapokezi ataufanya Stendi ya Ikungi. Kesho atapokelewa rasmi...
  6. Mindyou

    PreGE2025 Tundu Lissu: Kama CCM hawataki kuleta mageuzi kwa hiyari wataleta mageuzi kwa shuruti. Tujiandae kuzuia Uchaguzi

    Wakuu, CCM mna ujumbe hapa kutoka kwa Tundu Lissu. Akiwa anazungumza huko Manyoni siku ya leo, Tundu Lissu amesema kuwa kutokana na CCM kugoma kufanya mabadiliko kwa hiyari basi wataleta mabadiliko kwa shuruti Lissu amedokeza kuwa CHADEMA iko tayari kufanya mabadiliko kwa shuruti na kwamba...
  7. G

    Hotuba ya Tundu Lisu ni nzuri sana ila wamekosea timing. Alipaswa aanze na nini CHADEMA inatamani kuifanyia nchi hii ikishinda Uchaguzi!

    Kwa Aina ya wananchi TULIONAYO watanzania wenzetu inahitajika mikakati na mbinu Kali mno ili wakuunge mkono Moja Kwa hutuba ya kwanza ya mkiti ilipaswa aanze kuelezea maono ya Chadema ya Muda mrefu juu ya nchi yetu na matamanio yao kwa wananchi Pili haikuwepo haja ya kuanza kuchumbua masuala...
Back
Top Bottom