Kuna tabia mbaya inayofanywa na watumishi wa hospitali za umma.
Wakigundua mgonjwa (hasa wa kulazwa) anatumia cash na yupo kwenye hali mbaya, huwa wanawanunulisha ndugu madawa mengi ambayo mgonjwa hatoyatumia.
Kwa sababu ni ngumu kwa watu kujua, huwa wanalipia dawa nyingi na kuzikabidhi...
Hospitali za serikali ndio wasimamizi wakubwa wa vifo na wanafanya hiyo kazi wamepewa likizo kubwa ili kutovujisha habari na sababu walizopewa tokea tarehee za kukaribia uchaguzi mpaka leo wanashindwa kujua mapumziko yao ni sababu ya nini.
Mituha ya taarifa za vifo imepewa na wahuni na sasa...
Habarini,
Kumekuwa na tabia ya madaktari hasa wa hospitali za serikali za wilaya hadi ya taifa Muhimbili kuandikia dawa wagonjwa na baadae kubadirisha na kuandika dawa nyingine huku tayari zimeshalipiwa dawa alizoandikiwa mwanzo kitu ambacho husababisha hasara na gharama kubwa kwa wagonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.