Katika vita vya siasa kwa sasa ni vita kati ya wananchi na CCM
Katika vita hivi tasisi kazaa za kidini zinatoa maoni yao juu ya ili tumeona baadhi ya wakristo wakiwa upande wa serekali na baadhi yao wakiwa upande wa wananchi.
Ivo ivo kuna baadhi ya waislam tumewaona wakiwa upande wawananchi na...
WKumekuepo na hoja za Udini hizi ni hoja mfu ambao wanaozitumia ni wale walioishiwa hoja na uwezo wao wa kufikiri umefika mwisho au hawajui wa nachokisema
Binafsi mimi naamini MUNGU yuko lakini sio kupitia hawa matapeli wa hizi dini zote Wanachokihubili hawakiishi Utapeli mtupu walio wengi...
Tunajitenga na kauli zote zilizotolewa zenye viashiria vya udini kwani huo sio msimamo wa Chama na zinapaswa kupingwa na kila mtanzania bila kujali dini, kabila au mahali alipotoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.